iqna

IQNA

fawzia ashmawi
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu / 9
TEHRAN (IQNA) – Dk Fawzia al-Ashmawi alikuwa msomi wa Misri, mwandishi, mfasiri na mtarjumi. Alifanya kazi kama Profesa wa fasihi ya Kiarabu na ustaarabu wa Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Geneva.
Habari ID: 3476199    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/05